SIMBA ‘OUT’ KLABU BINGWA

Klabu ya @simbasctanzania imeondolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kukubali kipigo cha Mabao 3-1 toka kwa Klabu ya Jwaneng Galaxy ya Nchini Botswana katika mechi ya marudiano iliyochezwa katika uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 24, 2021. Simba waliingia kwenye mchezo huo wakiwa na matumaini makubwa kufuzu hatua ya makundi